Unapokuwa mapumzikoni,uko kwenye fungate(honeymoon),ni wakati wa sikukuu au umesafiri kikazi au kibiashara ni ndani ya Diamond Star of East Zanzibar,ni hapahapa Tanzania.Mungu atupe nini zaidi ya uzuri kama huu.Tuipende nchi yetu na kuithamini wale wanaojua uzuri wa nchi hii waliona kuiita Tanzania peke yake haitoshi wakaipa jina la BONGO.
Diamond Star of East Zanzibar-Island of Zanzibar
Diamond Star of East Zanzibar-Island of Zanzibar
No comments:
Post a Comment